12 Lakini waadilifu watasitawi kama mtende
Na kuwa wakubwa kama mwerezi kule Lebanoni.+
13 Wamepandwa katika nyumba ya Yehova;
Wanasitawi katika nyua za Mungu wetu.+
14 Hata wakati wa uzeeni wataendelea kunawiri;+
Wataendelea kuwa na nguvu na kuwa wabichi,+