Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 71:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ee Mungu, hata nikizeeka na kuwa na mvi, usiniache.+

      Acha nikiambie kizazi kijacho kuhusu nguvu zako*

      Na kuwaambia wote watakaokuja kuhusu uwezo wako.+

  • Methali 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mvi ni taji la umaridadi*+

      Zinapopatikana katika njia ya uadilifu.+

  • Isaya 40:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena.

      Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+

      Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;

      Watatembea na hawatachoka.”+

  • Isaya 46:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Hata utakapozeeka nitakuwa yuleyule;+

      Hata kichwa chako kikiwa na mvi nitaendelea kukubeba.

      Kama nilivyofanya, nitakubeba na kukuchukua na kukuokoa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki