Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na siku hiyo unapaswa kumwambia mwanao, ‘Ni kwa sababu ya mambo ambayo Yehova alinitendea nilipotoka Misri.’+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha Daudi akamsifu Yehova mbele ya kutaniko lote. Daudi akasema: “Na usifiwe, Ee Yehova Mungu wa Israeli baba yetu, kwa umilele wote.* 11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote.

  • Zaburi 78:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nitakifungua kinywa changu kwa methali.

      Nitafumbua mafumbo ya zamani za kale.+

       3 Mambo ambayo tumesikia na tunayojua,

      Ambayo baba zetu wametusimulia,+

       4 Hatutawaficha wana wao;

      Tutakisimulia kizazi kijacho mambo hayo+

      Matendo ya Yehova yanayostahili sifa na nguvu zake,+

      Mambo yanayostaajabisha aliyotenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki