Zaburi 103:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova amekiimarisha kabisa kiti chake cha ufalme mbinguni;+Nao ufalme wake unatawala kila kitu.+ Mathayo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ufalme wako+ na uje. Mapenzi yako+ na yatendeke duniani+ kama ilivyo mbinguni.