Mathayo 26:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Akaenda tena mara ya pili na kusali: “Baba yangu, ikiwa siwezi kuepuka kunywa kikombe hiki, acha mapenzi yako yatendeke.”+ 1 Timotheo 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambaye mapenzi yake ni kwamba watu wa namna zote waokolewe+ na kupata ujuzi sahihi wa kweli. Ufunuo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Unastahili, Ee Yehova* Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi yako vilitokea navyo vikaumbwa.”
42 Akaenda tena mara ya pili na kusali: “Baba yangu, ikiwa siwezi kuepuka kunywa kikombe hiki, acha mapenzi yako yatendeke.”+
11 “Unastahili, Ee Yehova* Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi yako vilitokea navyo vikaumbwa.”