Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nikasikia kila kiumbe kilicho mbinguni na duniani na chini ya dunia+ na baharini, na vitu vyote vilivyo ndani yake, vikisema: “Yule anayeketi kwenye kile kiti cha ufalme+ na Mwanakondoo+ na wawe na baraka na heshima+ na utukufu na nguvu milele na milele.”+

  • Ufunuo 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 wakisema: “Amina! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uwezo na nguvu ziwe kwa Mungu wetu milele na milele.+ Amina.”

  • Ufunuo 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, yule aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+

  • Ufunuo 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nikasikia sauti kubwa mbinguni ikisema:

      “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu na Ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake, kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki