Zaburi 99:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 99 Yehova amekuwa Mfalme.+ Mataifa na yatetemeke. Anaketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi.+ Dunia na itikisike. Zekaria 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote.+ Siku hiyo Yehova atakuwa Mungu pekee,+ na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.+ Ufunuo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme!+
99 Yehova amekuwa Mfalme.+ Mataifa na yatetemeke. Anaketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi.+ Dunia na itikisike.
9 Na Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote.+ Siku hiyo Yehova atakuwa Mungu pekee,+ na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.+
6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme!+