Zaburi 97:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 97 Yehova amekuwa Mfalme!+ Dunia na iwe na shangwe.+ Na visiwa vyake vingi vishangilie.+ Isaya 52:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi inavyopendeza juu ya milima, miguu ya yule anayeleta habari njema,+Anayetangaza amani,+Anayeleta habari njema za jambo bora,Anayetangaza wokovu,Anayeambia Sayuni: “Mungu wako amekuwa Mfalme!”+ Ufunuo 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikika mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+
7 Jinsi inavyopendeza juu ya milima, miguu ya yule anayeleta habari njema,+Anayetangaza amani,+Anayeleta habari njema za jambo bora,Anayetangaza wokovu,Anayeambia Sayuni: “Mungu wako amekuwa Mfalme!”+
15 Malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikika mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+