Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 93:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 93 Yehova amekuwa Mfalme!+

      Amevaa adhama;

      Yehova amevaa nguvu;

      Huzivaa kama mshipi.

      Dunia imeimarishwa kabisa;

      Haiwezi kusogezwa.*

  • Isaya 33:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+

      Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+

      Yehova ni Mfalme wetu;+

      Yeye Ndiye atakayetuokoa.+

  • Mika 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nitamfanya yule aliyekuwa akichechemea abaki,+

      Na yule aliyepelekwa mbali kuwa taifa lenye nguvu;+

      Na Yehova atawatawala akiwa mfalme katika Mlima Sayuni,

      Kuanzia sasa mpaka milele.

  • Mathayo 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na hii habari njema ya Ufalme itahubiriwa katika dunia yote inayokaliwa ili kuwa ushahidi kwa mataifa yote,+ na ndipo ule mwisho utakapokuja.

  • Ufunuo 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikika mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+

  • Ufunuo 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, yule aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki