Mwanzo 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+ Zaburi 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mbingu zinatangaza uadilifu wake,Kwa maana Mungu mwenyewe ni Mwamuzi.+ (Sela) Zaburi 98:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa haki.+
25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+
9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa haki.+