Zaburi 67:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mataifa na yashangilie na kupaza sauti kwa shangwe,+Kwa maana utayahukumu mataifa kwa haki.+ Utayaongoza mataifa ya dunia. (Sela) Zaburi 96:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tangazeni miongoni mwa mataifa: “Yehova amekuwa Mfalme!+ Dunia imeimarishwa kabisa, haiwezi kusogezwa.* Atayahukumu* mataifa kwa haki.”+ Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+
4 Mataifa na yashangilie na kupaza sauti kwa shangwe,+Kwa maana utayahukumu mataifa kwa haki.+ Utayaongoza mataifa ya dunia. (Sela)
10 Tangazeni miongoni mwa mataifa: “Yehova amekuwa Mfalme!+ Dunia imeimarishwa kabisa, haiwezi kusogezwa.* Atayahukumu* mataifa kwa haki.”+