Zaburi 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa;+Atayahukumu mataifa kwa kutoa maamuzi ya uadilifu.+ Zaburi 96:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tangazeni miongoni mwa mataifa: “Yehova amekuwa Mfalme!+ Dunia imeimarishwa kabisa, haiwezi kusogezwa.* Atayahukumu* mataifa kwa haki.”+ Zaburi 98:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa haki.+ Waroma 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini kulingana na ukaidi wako na moyo wako usiotubu, unajiwekea akiba ya ghadhabu katika siku ya ghadhabu na ya kufunuliwa kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+
10 Tangazeni miongoni mwa mataifa: “Yehova amekuwa Mfalme!+ Dunia imeimarishwa kabisa, haiwezi kusogezwa.* Atayahukumu* mataifa kwa haki.”+
9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa haki.+
5 Lakini kulingana na ukaidi wako na moyo wako usiotubu, unajiwekea akiba ya ghadhabu katika siku ya ghadhabu na ya kufunuliwa kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+