Mwanzo 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+ Zaburi 85:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uaminifu utachipuka duniani,Na uadilifu utatazama chini kutoka mbinguni.+ Isaya 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiku ninakutamani sana kwa nafsi yangu yote,Naam, roho yangu inaendelea kukutafuta;+Kwa maana hukumu zinapotoka kwako kwa ajili ya dunia,Wakaaji wa nchi hujifunza kuhusu uadilifu.+
25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+
9 Usiku ninakutamani sana kwa nafsi yangu yote,Naam, roho yangu inaendelea kukutafuta;+Kwa maana hukumu zinapotoka kwako kwa ajili ya dunia,Wakaaji wa nchi hujifunza kuhusu uadilifu.+