Zaburi 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa;+Atayahukumu mataifa kwa kutoa maamuzi ya uadilifu.+ Zaburi 58:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi;+Miguu yake italowa damu ya waovu.+ 11 Kisha watu watasema: “Kwa hakika kuna thawabu kwa ajili ya mwadilifu.+ Kwa hakika kuna Mungu anayehukumu duniani.”+ Zaburi 85:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uaminifu utachipuka duniani,Na uadilifu utatazama chini kutoka mbinguni.+ Zaburi 85:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Uadilifu utatembea mbele zake+Na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake. Zaburi 96:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja,*Anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa uaminifu wake.+ Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chake cha ufalme.+ Isaya 61:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kama dunia inavyochipusha mimeaNa kama bustani inavyochipusha vitu vilivyopandwa humo,Ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu YehovaAtakavyofanya uadilifu+ na sifa zichipuke+ mbele ya mataifa yote.
10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi;+Miguu yake italowa damu ya waovu.+ 11 Kisha watu watasema: “Kwa hakika kuna thawabu kwa ajili ya mwadilifu.+ Kwa hakika kuna Mungu anayehukumu duniani.”+
13 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja,*Anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa uaminifu wake.+
11 Kwa maana kama dunia inavyochipusha mimeaNa kama bustani inavyochipusha vitu vilivyopandwa humo,Ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu YehovaAtakavyofanya uadilifu+ na sifa zichipuke+ mbele ya mataifa yote.