Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 52:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ndiyo sababu Mungu atakubomoa milele na milele;+

      Atakunyakua na kukurarua kutoka katika hema lako;+

      Atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ (Sela)

       6 Waadilifu wataona jambo hilo na kujawa na woga,+

      Nao watamcheka.+

  • Zaburi 64:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ya Yehova na kumkimbilia;+

      Wote walio wanyoofu moyoni watashangilia.*

  • Ezekieli 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nitatekeleza matendo makubwa ya kisasi dhidi yao kwa adhabu kali, nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoleta kisasi changu dhidi yao.”’”

  • Ufunuo 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Furahini kwa sababu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na mitume na manabii, kwa sababu Mungu ametangaza hukumu juu yake kwa ajili yenu!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki