Methali 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Midomo inayosema ukweli itadumu milele,+Lakini ulimi unaosema uwongo utadumu kwa muda mfupi tu.+ Methali 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Shahidi anayesema uwongo hatakosa kuadhibiwa,Na yule anayesema uwongo kila anapopumua ataangamia.+