Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Shahidi anayesema uwongo hatakosa kuadhibiwa,

      Na yule anayesema uwongo kila anapopumua ataangamia.+

  • Matendo 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Petro akamuuliza: “Anania, kwa nini Shetani amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ ukajiwekea kisiri kiasi fulani cha bei ya shamba?

  • Matendo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Anania aliposikia maneno hayo, akaanguka chini akafa. Na wote waliosikia jambo hilo wakaogopa sana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki