Zaburi 101:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hakuna mtu yeyote mdanganyifu atakayekaa katika nyumba yangu,Na hakuna mwongo atakayesimama mbele yangu.* Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+ Wakolosai 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msiambiane uwongo.+ Uvueni utu* wa zamani+ pamoja na mazoea yake,
7 Hakuna mtu yeyote mdanganyifu atakayekaa katika nyumba yangu,Na hakuna mwongo atakayesimama mbele yangu.*
25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+