16 “‘Haya ndiyo mambo mnayopaswa kufanya: Kila mtu amwambie mwenzake ukweli,+ na hukumu mnazotoa katika malango yenu zinapaswa kutetea ukweli na amani.+
8 Lakini sasa, kwa kweli, lazima myaondoe mambo haya yote kutoka kwenu: ghadhabu, hasira, ubaya,+ matusi,+ na maneno machafu+ kutoka kinywani mwenu. 9 Msiambiane uwongo.+ Uvueni utu* wa zamani+ pamoja na mazoea yake,
8 Lakini kuhusu waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu wao na wauaji+ na waasherati*+ na wale wanaozoea kuwasiliana na roho na wanaoabudu sanamu na waongo wote,+ fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+