Mambo ya Walawi 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Msiibe,+ msidanganye,+ wala msitendeane kwa hila. Methali 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Midomo inayosema ukweli itadumu milele,+Lakini ulimi unaosema uwongo utadumu kwa muda mfupi tu.+ Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+
25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+