Mambo ya Walawi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mtu akitenda dhambi na kukosa uaminifu kwa Yehova+ kwa kumdanganya jirani yake kuhusu kitu fulani alichokabidhiwa atunze,+ au alichoachiwa kama dhamana, au akimwibia au kumlaghai jirani yake, Methali 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Midomo inayosema uwongo humchukiza Yehova,+Lakini wanaotenda kwa uaminifu humfurahisha. Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+
2 “Mtu akitenda dhambi na kukosa uaminifu kwa Yehova+ kwa kumdanganya jirani yake kuhusu kitu fulani alichokabidhiwa atunze,+ au alichoachiwa kama dhamana, au akimwibia au kumlaghai jirani yake,
25 Kwa hiyo, kwa sababu mmeacha udanganyifu, semeni ukweli kila mmoja na mwenzake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mwili mmoja.+