26 Kwa maana tukiendelea kutenda dhambi kimakusudi baada ya kupokea ujuzi sahihi wa kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+27 bali kuna tarajio hakika linaloogopesha la hukumu na hasira inayowaka itakayowaangamiza wale wanaopinga.+
6 Mwenye furaha na mtakatifu ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka 1,000.+