Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kumbukumbu* ya mwadilifu itabarikiwa,+

      Lakini jina la mwovu litaoza.+

  • Waebrania 10:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana tukiendelea kutenda dhambi kimakusudi baada ya kupokea ujuzi sahihi wa kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+ 27 bali kuna tarajio hakika linaloogopesha la hukumu na hasira inayowaka itakayowaangamiza wale wanaopinga.+

  • Ufunuo 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yule aliye na sikio na asikie+ yale ambayo roho inayaambia makutaniko: Yule atakayeshinda,+ kifo cha pili hakitamdhuru hata kidogo.’+

  • Ufunuo 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mwenye furaha na mtakatifu ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka 1,000.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki