Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa mfano, yeyote anayesema neno baya dhidi ya Mwana wa binadamu, atasamehewa;+ lakini yeyote anayesema vibaya dhidi ya roho takatifu, hatasamehewa, hapana, si katika mfumo huu wa mambo* wala ule utakaokuja.+

  • Waebrania 6:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana kuhusu wale ambao wakati fulani walikuwa kwenye nuru,+ na ambao wameonja zawadi ya bure ya kimbingu na ambao wamekuwa washiriki wa roho takatifu 5 na ambao wameonja neno zuri la Mungu na nguvu za mfumo wa mambo* unaokuja, 6 lakini wameanguka,+ haiwezekani kuwarudisha tena kwenye toba, kwa sababu wanamtundika tena mtini Mwana wa Mungu kwa ajili yao wenyewe na kumwaibisha hadharani.+

  • 1 Yohana 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yeyote akimwona ndugu yake akifanya dhambi isiyoleta kifo, yeye ataomba, na Mungu atampa huyo uzima,+ ndiyo, kwa wale ambao hawafanyi dhambi inayoleta kifo. Kuna dhambi ambayo huleta kifo.+ Simwambii aombe kuhusu dhambi hiyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki