Luka 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kila mtu anayesema neno baya kumhusu Mwana wa binadamu atasamehewa, lakini yeyote anayeikufuru roho takatifu hatasamehewa.+ Waebrania 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana tukiendelea kutenda dhambi kimakusudi baada ya kupokea ujuzi sahihi wa kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+
10 Na kila mtu anayesema neno baya kumhusu Mwana wa binadamu atasamehewa, lakini yeyote anayeikufuru roho takatifu hatasamehewa.+
26 Kwa maana tukiendelea kutenda dhambi kimakusudi baada ya kupokea ujuzi sahihi wa kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+