Waefeso 5:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uasherati* na kila namna ya ukosefu wa usafi au pupa visitajwe kamwe miongoni mwenu,+ kama inavyowafaa watu watakatifu;+ 4 wala mwenendo wa aibu wala maneno ya kipumbavu wala mizaha michafu+—mambo yasiyofaa—badala yake, kutoa shukrani.+
3 Uasherati* na kila namna ya ukosefu wa usafi au pupa visitajwe kamwe miongoni mwenu,+ kama inavyowafaa watu watakatifu;+ 4 wala mwenendo wa aibu wala maneno ya kipumbavu wala mizaha michafu+—mambo yasiyofaa—badala yake, kutoa shukrani.+