Zaburi 58:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi;+Miguu yake italowa damu ya waovu.+ Zaburi 68:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wapeperushe mbali kama moshi unavyopeperushwa;Kama nta inavyoyeyuka karibu na moto,Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+ 3 Lakini waadilifu na washangilie;+Na wafurikwe na shangwe mbele za Mungu;Na wafurahi na kushangilia.
2 Wapeperushe mbali kama moshi unavyopeperushwa;Kama nta inavyoyeyuka karibu na moto,Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+ 3 Lakini waadilifu na washangilie;+Na wafurikwe na shangwe mbele za Mungu;Na wafurahi na kushangilia.