Zaburi 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anajulikana kwa hukumu anazotekeleza.+ Mwovu amenaswa katika kazi za mikono yake mwenyewe.+ Higayoni.* (Sela) Zaburi 98:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa haki.+
16 Yehova anajulikana kwa hukumu anazotekeleza.+ Mwovu amenaswa katika kazi za mikono yake mwenyewe.+ Higayoni.* (Sela)
9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa haki.+