Zaburi 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa;+Atayahukumu mataifa kwa kutoa maamuzi ya uadilifu.+ Matendo 17:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua kutoka kwa wafu.”+
31 Kwa sababu ameweka siku ambayo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua kutoka kwa wafu.”+