Zaburi 37:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+Utapaangalia mahali walipokuwa,Nao hawatakuwepo.+ 11 Lakini wapole wataimiliki dunia,+Nao watafurahia kwelikweli wingi wa amani.+ Methali 29:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Waovu wanapoongezeka, uovu huongezeka,Lakini waadilifu watawaona wakianguka.+ Malaki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mtu mwadilifu na mtu mwovu,+ kati ya yule anayemtumikia Mungu na yule asiyemtumikia.” Mathayo 13:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.* Malaika wataenda kuwatenganisha waovu kutoka kwa waadilifu.
10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+Utapaangalia mahali walipokuwa,Nao hawatakuwepo.+ 11 Lakini wapole wataimiliki dunia,+Nao watafurahia kwelikweli wingi wa amani.+
18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mtu mwadilifu na mtu mwovu,+ kati ya yule anayemtumikia Mungu na yule asiyemtumikia.”
49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.* Malaika wataenda kuwatenganisha waovu kutoka kwa waadilifu.