Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+

      Utapaangalia mahali walipokuwa,

      Nao hawatakuwepo.+

      11 Lakini wapole wataimiliki dunia,+

      Nao watafurahia kwelikweli wingi wa amani.+

  • Methali 29:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Waovu wanapoongezeka, uovu huongezeka,

      Lakini waadilifu watawaona wakianguka.+

  • Malaki 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mtu mwadilifu na mtu mwovu,+ kati ya yule anayemtumikia Mungu na yule asiyemtumikia.”

  • Mathayo 13:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.* Malaika wataenda kuwatenganisha waovu kutoka kwa waadilifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki