Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na ufuate njia yake,Naye atakukweza uimiliki dunia. Waovu watakapoangamizwa,+ utaona jambo hilo.+ Ufunuo 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Furahini kwa sababu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na mitume na manabii, kwa sababu Mungu ametangaza hukumu juu yake kwa ajili yenu!”+
34 Mtumaini Yehova na ufuate njia yake,Naye atakukweza uimiliki dunia. Waovu watakapoangamizwa,+ utaona jambo hilo.+
20 “Furahini kwa sababu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na mitume na manabii, kwa sababu Mungu ametangaza hukumu juu yake kwa ajili yenu!”+