Zaburi 58:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi;+Miguu yake italowa damu ya waovu.+ 11 Kisha watu watasema: “Kwa hakika kuna thawabu kwa ajili ya mwadilifu.+ Kwa hakika kuna Mungu anayehukumu duniani.”+
10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi;+Miguu yake italowa damu ya waovu.+ 11 Kisha watu watasema: “Kwa hakika kuna thawabu kwa ajili ya mwadilifu.+ Kwa hakika kuna Mungu anayehukumu duniani.”+