Zaburi 67:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mataifa na yashangilie na kupaza sauti kwa shangwe,+Kwa maana utayahukumu mataifa kwa haki.+ Utayaongoza mataifa ya dunia. (Sela) Zaburi 98:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa haki.+
4 Mataifa na yashangilie na kupaza sauti kwa shangwe,+Kwa maana utayahukumu mataifa kwa haki.+ Utayaongoza mataifa ya dunia. (Sela)
9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa haki.+