Isaya 60:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana visiwa vitanitumaini;+Meli za Tarshishi zinaongoza,*Kuwaleta wana wako kutoka mbali sana,+Pamoja na fedha yao na dhahabu yao,Kwa sifa ya jina la Yehova Mungu wako na ya Mtakatifu wa Israeli,Kwa maana atakutukuza.*+
9 Kwa maana visiwa vitanitumaini;+Meli za Tarshishi zinaongoza,*Kuwaleta wana wako kutoka mbali sana,+Pamoja na fedha yao na dhahabu yao,Kwa sifa ya jina la Yehova Mungu wako na ya Mtakatifu wa Israeli,Kwa maana atakutukuza.*+