Mathayo 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo, acheni nuru yenu iangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu mema+ na kumtukuza Baba yenu aliye mbinguni.+ Ufunuo 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikuwa akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu na kumpa utukufu, kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ kwa hiyo mwabuduni Yule aliyeziumba mbingu na dunia na bahari+ na chemchemi za maji.”*
16 Vivyo hivyo, acheni nuru yenu iangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu mema+ na kumtukuza Baba yenu aliye mbinguni.+
7 Alikuwa akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu na kumpa utukufu, kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ kwa hiyo mwabuduni Yule aliyeziumba mbingu na dunia na bahari+ na chemchemi za maji.”*