2 Mambo ya Nyakati 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 akasema: “Ee Yehova Mungu wa mababu zetu, je, wewe si Mungu mbinguni;+ je, huna mamlaka juu ya falme zote za mataifa?+ Mkononi mwako mna nguvu na uwezo, na hakuna anayeweza kushindana nawe.+ Isaya 66:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Yehova anasema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme, na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Hivyo basi, iko wapi nyumba mnayoweza kunijengea,+Na pako wapi mahali pangu pa kupumzikia?”+
6 akasema: “Ee Yehova Mungu wa mababu zetu, je, wewe si Mungu mbinguni;+ je, huna mamlaka juu ya falme zote za mataifa?+ Mkononi mwako mna nguvu na uwezo, na hakuna anayeweza kushindana nawe.+
66 Yehova anasema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme, na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Hivyo basi, iko wapi nyumba mnayoweza kunijengea,+Na pako wapi mahali pangu pa kupumzikia?”+