Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Halafu Mfalme Daudi akasimama na kusema:

      “Nisikilizeni, ndugu zangu na watu wangu. Moyo wangu ulitamani kujenga nyumba ambamo sanduku la agano la Yehova lingekaa* na ambayo ingekuwa kiti cha miguu cha Mungu wetu,+ nami nilifanya matayarisho ya kuijenga.+

  • Matendo 7:48-50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Hata hivyo, Aliye Juu Zaidi haishi katika nyumba zilizojengwa kwa mikono,+ kama vile nabii anavyosema: 49 ‘Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ nayo dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Mtanijengea nyumba ya aina gani? Asema Yehova.* Au pako wapi mahali pangu pa kupumzikia? 50 Mkono wangu uliumba vitu hivi vyote, sivyo?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki