Mathayo 5:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hata hivyo, ninawaambia: Msiape kamwe+ kwa mbingu kwa sababu ni kiti cha ufalme cha Mungu; 35 wala kwa dunia kwa sababu ni mahali pake pa kuwekea miguu;+ wala kwa Yerusalemu kwa sababu ni jiji la Mfalme mkuu.+
34 Hata hivyo, ninawaambia: Msiape kamwe+ kwa mbingu kwa sababu ni kiti cha ufalme cha Mungu; 35 wala kwa dunia kwa sababu ni mahali pake pa kuwekea miguu;+ wala kwa Yerusalemu kwa sababu ni jiji la Mfalme mkuu.+