Kutoka 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na siku hiyo unapaswa kumwambia mwanao, ‘Ni kwa sababu ya mambo ambayo Yehova alinitendea nilipotoka Misri.’+ Zaburi 44:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu wenyewe,Mababu zetu wametusimulia,+Mambo uliyotimiza katika siku zao,Siku za zamani za kale.
8 Na siku hiyo unapaswa kumwambia mwanao, ‘Ni kwa sababu ya mambo ambayo Yehova alinitendea nilipotoka Misri.’+
44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu wenyewe,Mababu zetu wametusimulia,+Mambo uliyotimiza katika siku zao,Siku za zamani za kale.