13 Gideoni akamwambia, “Niwie radhi, bwana wangu, lakini ikiwa Yehova yuko pamoja nasi, kwa nini mambo haya yote yametupata?+ Yako wapi matendo yake ya ajabu ambayo baba zetu walitusimulia,+ wakisema, ‘Yehova ndiye aliyetutoa Misri?’+ Sasa Yehova ametuacha,+ naye ametutia mikononi mwa Wamidiani.”