Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mwanao akikuuliza baadaye, ‘Jambo hili linamaanisha nini?’ basi unapaswa kumwambia, ‘Kwa mkono wenye nguvu Yehova alitutoa Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa.+

  • Hesabu 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndiyo sababu kitabu cha Vita vya Yehova kinasema kuhusu “Jiji la Vahebu katika eneo la Sufa na mabonde* ya Arnoni,

  • Waamuzi 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Gideoni akamwambia, “Niwie radhi, bwana wangu, lakini ikiwa Yehova yuko pamoja nasi, kwa nini mambo haya yote yametupata?+ Yako wapi matendo yake ya ajabu ambayo baba zetu walitusimulia,+ wakisema, ‘Yehova ndiye aliyetutoa Misri?’+ Sasa Yehova ametuacha,+ naye ametutia mikononi mwa Wamidiani.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki