Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 1:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mtu mwenye hekima husikiliza na kujifunza zaidi;+

      Mtu mwenye uelewaji hupata mwelekezo stadi*+

       6 Ili kuelewa methali na fumbo,*

      Maneno ya wenye hekima na vitendawili vyao.+

  • Mathayo 13:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yesu alizungumza mambo hayo yote na umati kwa kutumia mifano. Kwa kweli, hakuwa akizungumza nao bila mfano,+ 35 ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia nabii: “Nitafungua kinywa changu kwa mifano; nitatangaza mambo yaliyofichwa tangu kuwekwa msingi.”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki