Marko 4:33, 34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Akitumia mifano+ mingi kama hiyo, aliwafundisha neno kwa kadiri walivyoweza kusikiliza. 34 Kwa kweli, hakuwa akizungumza nao bila mfano, lakini alipokuwa na wanafunzi wake faraghani aliwafafanulia mambo yote.+
33 Akitumia mifano+ mingi kama hiyo, aliwafundisha neno kwa kadiri walivyoweza kusikiliza. 34 Kwa kweli, hakuwa akizungumza nao bila mfano, lakini alipokuwa na wanafunzi wake faraghani aliwafafanulia mambo yote.+