Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Akawajibu: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za Ufalme wa mbinguni, lakini wao hawajapewa.

  • Mathayo 13:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yesu alizungumza mambo hayo yote na umati kwa kutumia mifano. Kwa kweli, hakuwa akizungumza nao bila mfano,+ 35 ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia nabii: “Nitafungua kinywa changu kwa mifano; nitatangaza mambo yaliyofichwa tangu kuwekwa msingi.”*+

  • Marko 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Akawaambia: “Ninyi mmepewa siri takatifu+ ya Ufalme wa Mungu, lakini kwa wale walio nje mambo yote yako katika mifano,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki