Mathayo 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akawajibu: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za Ufalme wa mbinguni, lakini wao hawajapewa. Luka 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akawaambia: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuelewa siri takatifu za Ufalme wa Mungu, lakini ninazungumza na wale wengine kwa mifano,+ ili ingawa wanatazama, watazame lakini wasione, na ingawa wanasikia, wasielewe.+
11 Akawajibu: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za Ufalme wa mbinguni, lakini wao hawajapewa.
10 Akawaambia: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuelewa siri takatifu za Ufalme wa Mungu, lakini ninazungumza na wale wengine kwa mifano,+ ili ingawa wanatazama, watazame lakini wasione, na ingawa wanasikia, wasielewe.+