Mhubiri 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Maneno ya wenye hekima ni kama michokoo ya kuongozea ng’ombe,+ na misemo yao iliyokusanywa ni kama misumari iliyopigiliwa ikawa imara; yametolewa na mchungaji mmoja.
11 Maneno ya wenye hekima ni kama michokoo ya kuongozea ng’ombe,+ na misemo yao iliyokusanywa ni kama misumari iliyopigiliwa ikawa imara; yametolewa na mchungaji mmoja.