1 Samweli 25:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndipo Daudi akamwambia Abigaili: “Msifu Yehova Mungu wa Israeli, aliyekutuma leo ukutane nami! 33 Busara yako na ibarikiwe! Na ubarikiwe kwa kunizuia leo nisiwe na hatia ya damu+ na nisilipize kisasi* kwa mikono yangu mwenyewe. Methali 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa mwelekezo stadi* utapigana vita vyako,+Na kupitia washauri wengi kuna ushindi.*+
32 Ndipo Daudi akamwambia Abigaili: “Msifu Yehova Mungu wa Israeli, aliyekutuma leo ukutane nami! 33 Busara yako na ibarikiwe! Na ubarikiwe kwa kunizuia leo nisiwe na hatia ya damu+ na nisilipize kisasi* kwa mikono yangu mwenyewe.