Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mwelekezo stadi* unapokosekana, watu huanguka,

      Lakini washauri wengi huleta mafanikio.*+

  • Methali 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kimbelembele husababisha mzozo tu,+

      Lakini hekima ni ya wale wanaotafuta ushauri.*+

  • Methali 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mipango huvunjika watu wasiposhauriana,*

      Lakini mambo hufanikiwa kupitia washauri wengi.+

  • Matendo 15:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini baadhi ya wale wa madhehebu ya Mafarisayo ambao sasa walikuwa waamini wakasimama kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima watahiriwe na kuwaamuru washike Sheria ya Musa.”+

      6 Basi, mitume na wazee wakakusanyika pamoja ili kulichunguza jambo hilo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki