5 Lakini baadhi ya wale wa madhehebu ya Mafarisayo ambao sasa walikuwa waamini wakasimama kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima watahiriwe na kuwaamuru washike Sheria ya Musa.”+
6 Basi, mitume na wazee wakakusanyika pamoja ili kulichunguza jambo hilo.