Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kimbelembele kinapokuja, aibu itafuata,+

      Lakini wenye kiasi wana hekima.+

  • Methali 24:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa mwelekezo stadi* utapigana vita vyako,+

      Na kupitia washauri wengi kuna ushindi.*+

  • Matendo 15:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini baadhi ya wale wa madhehebu ya Mafarisayo ambao sasa walikuwa waamini wakasimama kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima watahiriwe na kuwaamuru washike Sheria ya Musa.”+

      6 Basi, mitume na wazee wakakusanyika pamoja ili kulichunguza jambo hilo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki