Zaburi 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dunia na vyote vilivyomo ni vya Yehova,+Nchi inayozaa na wale wanaokaa ndani yake. Isaya 42:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hivi ndivyo anavyosema Mungu wa kweli, Yehova,Muumba wa mbingu na Mkuu aliyezitandaza,+Yule aliyeitandaza dunia na mazao yake,+Yule anayewapa pumzi watu waliomo+Na kuwapa roho wale wanaotembea humo:+
5 Hivi ndivyo anavyosema Mungu wa kweli, Yehova,Muumba wa mbingu na Mkuu aliyezitandaza,+Yule aliyeitandaza dunia na mazao yake,+Yule anayewapa pumzi watu waliomo+Na kuwapa roho wale wanaotembea humo:+