- 
	                        
            
            Matendo 17:24, 25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
24 Mungu aliyeumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, akiwa, kama alivyo, Bwana wa mbingu na dunia,+ hakai katika mahekalu yaliyotengenezwa kwa mikono;+ 25 wala hatumikiwi kwa mikono ya binadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe huwapa watu wote uhai na pumzi+ na vitu vyote.
 
 -