1 Wakorintho 15:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Basi imeandikwa hivi: “Mwanadamu wa kwanza Adamu akawa mtu aliye hai.”*+ Adamu wa mwisho akawa roho inayowapa watu uhai.+ 1 Wakorintho 15:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Mtu wa kwanza ni wa kutoka duniani na ameumbwa kwa mavumbi;+ mtu wa pili ni wa kutoka mbinguni.+
45 Basi imeandikwa hivi: “Mwanadamu wa kwanza Adamu akawa mtu aliye hai.”*+ Adamu wa mwisho akawa roho inayowapa watu uhai.+